Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Shikamoni wakuu, ila wadogo malhaba.
Nataka kununua saa ebay ila naambiwa eti nibadili njia ya malipo, natumia m-pesa master card nimekuwa nikiitumia kununulia vitu. Ilikuwa imeisha muda wake ila sasa nimei-update imekaa sawa ila inakataa kununua chochote, msaada jamani nimechemka.
Nataka kununua saa ebay ila naambiwa eti nibadili njia ya malipo, natumia m-pesa master card nimekuwa nikiitumia kununulia vitu. Ilikuwa imeisha muda wake ila sasa nimei-update imekaa sawa ila inakataa kununua chochote, msaada jamani nimechemka.