Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 472
Sijaolewa, Sina mtoto,Nina umri wa miaka 26Hongera km kweli huna mipango ya kudanga sasa weka waz vp umeolewa?una umri gn na je una katoto?
Kila la heri mkuuNatamani Sana kujiona nikipiga hatua
Njoo PM tuyajenge, sijaoa, sina mtoto, nina umri wa miaka 30-32.Sijaolewa, Sina mtoto,Nina umri wa miaka 26
😎😎 ok aisee uko vzr na umri sahihi wa kulipata bwana ukiwa serious na uchungu wa maisha kmhivyo tunaweza kujaribu jaribuSijaolewa, Sina mtoto,Nina umri wa miaka 26
😃 😃 😃 aisee, mods peleka uzi MMU😎😎 ok aisee uko vzr na umri sahihi wa kulipata bwana ukiwa serious na uchungu wa maisha kmhivyo tunaweza kujaribu jaribu
Weee jamaa! Kwa uelewa wako na uhaba wa ajira na maokoto! alafu "out of nowhere" mtu akupe mchongo HALALI wa kuingiza 20,000/30,000 kwa siku?? Jiongeze! Akijitokeza ujue umekwisha!Wapendwa Katika bwana,
Natamani Sana kujiona nikipiga hatua,
Naombeni fursa/Mchongo wowote ambao naweza kupiga 20k hadi 30k kwa siku.....hapa Dar es salaam
Mimi ni binti .......
1. Kawe saidia fundi wa ujenzi wa magorofa na magodaun hii ni uhakika day ni elf20 hadi 30Wapendwa Katika bwana,
Natamani Sana kujiona nikipiga hatua,
Naombeni fursa/Mchongo wowote ambao naweza kupiga 20k hadi 30k kwa siku.....hapa Dar es salaam
Mimi ni binti .......
Hahaha unataka umpe 20k to 30k, daily..acha basi bwasheeeNjoo PM tuyajenge, sijaoa, sina mtoto, nina umri wa miaka 30-32.
Hamna kaka, uzi ni humu ila wachangiaji wameamua kuusogeza MMU..[emoji2] [emoji2] [emoji2] aisee, mods peleka uzi MMU
Bwasheee atapata zaidi ya hiyo na hadhi yake katika jamii itaongezeka. Jambo lamsingi aje PM tuyajenge, elfu 20/30 sikitu, suala lamsingi awe tayari na aridhie Kwa moyo wake kua sambamba na Kijana kama mimi bega Kwa bega lakini awe Binti smart tu kichwani.😃😃Hahaha unataka umpe 20k to 30k, daily..acha basi bwasheee
DuhNjoo PM tuyajenge, sijaoa, sina mtoto, nina umri wa miaka 30-32.
Karibu PM.
changamkia fursaaNjoo PM tuyajenge, sijaoa, sina mtoto, nina umri wa miaka 30-32.