Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Uwakala wa nini fursaiongezekenjoo uwe wakala wetu
only 100k mtaji
uwe sharp kufanya deliver kwa wateja
kwa siku you only need wateja watatu tu kupata faida ya 30k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwakala wa nini fursaiongezekenjoo uwe wakala wetu
only 100k mtaji
uwe sharp kufanya deliver kwa wateja
kwa siku you only need wateja watatu tu kupata faida ya 30k
bidhaa za uremboUwakala wa nini fursaiongezeke
Kumbe inawahusu wanawake tubidhaa za urembo
Mnahusika na nnnnjoo uwe wakala wetu
only 100k mtaji
uwe sharp kufanya deliver kwa wateja
kwa siku you only need wateja watatu tu kupata faida ya 30k
Mimi siwez kuingia pm cm inazinguanjoo uwe wakala wetu
only 100k mtaji
uwe sharp kufanya deliver kwa wateja
kwa siku you only need wateja watatu tu kupata faida ya 30k
Mtu kaomba ushauri we unataka kuyajenga,muache binti wawatu atafute maisha yake.Kwahiyo ulikuwa unatafuta Mwanamke wa kuoa kupitia matatizo yake?Yaan wazo aliloomba wewe umeona ni fursa ya ndoa na ndiyo maana ndoa nyingi zinazingua.Njoo PM tuyajenge, sijaoa, sina mtoto, nina umri wa miaka 30-32.
Mkuu kufaa kufaana, lakini pia usichukulie kila kitu seriously mtandaoni, unawezakuta na miaka 18 au 50 kabisa. Napia unaweza Kuta alieleta mada ni mwanaume pia.Mtu kaomba ushauri we unataka kuyajenga,muache binti wawatu atafute maisha yake.Kwahiyo ulikuwa unatafuta Mwanamke wa kuoa kupitia matatizo yake?Yaan wazo aliloomba wewe umeona ni fursa ya ndoa na ndiyo maana ndoa nyingi zinazingua.
vipodoziSamahani Inahusu nini biashara yenu?
[emoji23][emoji23]Kwahiyo ile 1.5m ishakata tayari bila kuanzisha biashara?
Anzisha danguro, wanawake watoe MbuluWapendwa Katika bwana,
Natamani Sana kujiona nikipiga hatua,
Naombeni fursa/ Mchongo wowote ambao naweza kupiga 20k hadi 30k kwa siku.....hapa Dar es salaam
Mimi ni binti.
Wambulu wanaiweza hiyo Kaz eAnzisha danguro, wanawake watoe Mbulu
@point of no return Point of no returnKwahiyo ile 1.5m ishakata tayari bila kuanzisha biashara?
Ipo,@point of no return Point of no return
Kuna swali lako huku
usimpotoshe binti yetu tafadhaliKubet uhakika
Mkuu hii ni biashara ninayipenda ila bado sijajua soko lake lipoje.Njoo uuze DAGAA nyamanono kutoka Mwanza, hakika hutojutia. Fanya delivery kula wakati na Mungu atakusaidia
RubbishKwa hisani ya chartGpt!
Nitafute 0789222279Mkuu hii ni biashara ninayipenda ila bado sijajua soko lake lipoje.
Je ni mikoa gani ni rafiki kwa Biashara hii?
Nisaidie tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app