rechungura1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 387
- 129
Habari wanaJF,
Nina mpango wa kusoma hiyo fani tajwa hapo juu but nina mpango wa kujiajiri hapo baadae. Nasikia zile mashine za mionzi ni ghali sana kwel? Unaweza kuazisha centre inayojihusisha na radiotheraphy pekee ukapata wateja?
Naomba mnijulishe kwa undani kuhusu hiyo fani.
Nina mpango wa kusoma hiyo fani tajwa hapo juu but nina mpango wa kujiajiri hapo baadae. Nasikia zile mashine za mionzi ni ghali sana kwel? Unaweza kuazisha centre inayojihusisha na radiotheraphy pekee ukapata wateja?
Naomba mnijulishe kwa undani kuhusu hiyo fani.