Mwanaoshimba
Member
- Mar 8, 2017
- 61
- 82
Mkuu nimeuliza nikaambiwa huwa inaweza kujirudia. Nilimpa lift kwenye gari langu.Mkuu kwani mtu anaweza kuugua tiba zaidi ya mara moja???Afu kwanini usishuke kwenye gari lakini??!!!
Inawezekana mtu kuugua TB zaidi ya mara moja,maana hadi useme mgonjwa kapona TB inatakiwa apimwe tena makohozi kipindi anatumia dawa tena wanapimwa mara tatu na majibu yake yawe negative...wengiwao ambao wanaumwa zaidi ya mara moja ni wale waliomaliza dawa ila hawakuponaMkuu kwani mtu anaweza kuugua tiba zaidi ya mara moja???Afu kwanini usishuke kwenye gari lakini??!!!
Pamoja sana mkuu,asanteInawezekana mtu kuugua TB zaidi ya mara moja,maana hadi useme mgonjwa kapona TB inatakiwa apimwe tena makohozi kipindi anatumia dawa tena wanapimwa mara tatu na majibu yake yawe negative...wengiwao ambao wanaumwa zaidi ya mara moja ni wale waliomaliza dawa ila hawakupona
PoaPamoja sana mkuu,asante
Mkuu ni hivi, labda nifafanue zaidi, leo mimi nimetoka kuelekea hospital kumchukua mke wangu ambaye amejifungua. Sasa wakati nakwenda nikampa lift huyo mtu ambaye ni jirani yangu na nafahamu alishawahi kupata TB. Ndio akawa anakohoa sana, nikapata wasiwasi. Sasa kusema nina kichanga mantiki yake ni kuwa kama mimi naweza kuwa nimebeba hao bacteria itakuwaje hiki kichanga changu? Siwezi kukiambukiza?mara umekaa nae kwenye gari,mara nyumbani kuna kichanga? sielewi huo uhusiano.au ni wewe sema mkuu usiogope