Mwanaoshimba
Member
- Mar 8, 2017
- 61
- 82
Nimekaa kwenye gari na mtu ambaye nahisi ana TB na hajaanza kutumia dozi. Anakohoa kikohozi kikavu sana na kwa muda mrefu.
Huko nyuma alishawahi kuugua TB na kupona. Kikohozi nilichokiona leo nahisi imerudi tena, maana kikohozi kile si cha kawaida.
Sasa nauliza kwa wenye ujuzi, kuna namna ya kujikinga? Maana pia hapa nyumbani nina mtoto mchanga, imenitia hofu sana.
Huko nyuma alishawahi kuugua TB na kupona. Kikohozi nilichokiona leo nahisi imerudi tena, maana kikohozi kile si cha kawaida.
Sasa nauliza kwa wenye ujuzi, kuna namna ya kujikinga? Maana pia hapa nyumbani nina mtoto mchanga, imenitia hofu sana.