collinswilliam63
Member
- Oct 12, 2014
- 78
- 48
Mwenye kujua ubora wa godoro tajwa hapo juu naomba aniambie mana na nikitaka kujua hili ni lenyewe au feki nagunduaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Godoro bora ni Tanform na qfl dodoma
how ?Zingatia Density, sio jina tu.
Hiyo density unaitambuaje?, au kuna sehemu wanaandika juu ya godoro?Godoro bora ni lenye kuanzia density 28 kurudi chini bila kujali kampuni, ukitaka godoro original la vita na usiwe na mashaka nenda showroom kwao posta
Wanaandika kwenye nylon ile ya juu, japokuwa kuna makampuni kanjanja saiv hawaweki, unakuta mtu unanunua godoro 12" miezi mitatu tu lishaweka shimo katiHiyo density unaitambuaje?, au kuna sehemu wanaandika juu ya godoro?
Shida iko hapoWanaandika kwenye nylon ile ya juu, japokuwa kuna makampuni kanjanja saiv hawaweki, unakuta mtu unanunua godoro 12" miezi mitatu tu lishaweka shimo kati
Godoro bora ni lenye kuanzia density 28 kurudi chini bila kujali kampuni, ukitaka godoro original la vita na usiwe na mashaka nenda showroom kwao posta
Hiyo density unaitambuaje?, au kuna sehemu wanaandika juu ya godoro?
Pitia hapa mkuu Erythrocyte.Wanaandika kwenye nylon ile ya juu, japokuwa kuna makampuni kanjanja saiv hawaweki, unakuta mtu unanunua godoro 12" miezi mitatu tu lishaweka shimo kati
Tena shida kubwa , hakuna tbs wala nini !Shida iko hapo