Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuamini kisa ni mbongo,,,,,yaani mbongo mpaka alizwe ndo vichwa vinatuliaga hivihivi ujuaji unakuwaga mwingi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumsaidia mbongo na kumuondoa kwenye mtego wa kutapeliwa ni kazi sana ndugu,yaani ni bora atapeliwe na mchina au Muhindi kuliko kukupa dili wewe.
Kuna jamaa mmoja bhana alitaka kutapeliwa na wahindi kwa kuagiza product ya 70m,sasa akapewa invoice fake lakini ilikuwa bahati yake kabla hajalipia akanicheki nikamuonesha mitego yote akanielewa kisha nikamwambia usiagize online kwenye kampuni usizozijua kama vipi nipe hiyo kazi nikusimamie mguu kwa mguu,lakini nikaona jamaa moyo wake unakuwa mzito kama haniamini ndio kwanza ananiambia nikamfanyie connection kwenye maeneo yaleyale ambayo amenusurika kuibiwa basi baada ya hapo nikaachana naye.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Vizuri kiongozi kikubwa kwenye huu mnyororo ni uamifu hakuna mchawi mwingineKupitia hii thread tayari nimepokea order kadhaa kwa bidhaa toka Turkey, USA na China, Kuna ambazo zinakuja kwa meli n kuna ambazo zinakuja kwa Ndege.
Subscribe hii thread | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Hizo reviews na comments zinanunuliwa pia, kwahiyo sio kigezo!Kuwa makini sana na wachna ...chek kama wana website uangalie reviews na comments za wateja wao..
Na kwa siku hizi wauzaji hutumia AI maalum kuweka comment na reviews, website kama amazon wanajitajidi kukabiliana na kuondoa uhuni wa aina hii.Hizo reviews na comments zinanunuliwa pia, kwahiyo sio kigezo!
Kazi ya kununua + kusafirisha kwa wadau wa hapa JF nimeanza kuifanya kwa muda mrefu, Zaidi Angali a hii thread | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasaVizuri kiongozi kikubwa kwenye huu mnyororo ni uamifu hakuna mchawi mwingine
Mkuu nimekucheki PM kimyaWasiliana na Tanzua Express wanaweza kukusaidia kukununulia bidhaa kutoka kiwandani China na kusafirisha hadi Tanzania.
Wewe kazi yako ni kwenda kuchukua mzigo kwako ila mengine wao ndo wanashungulikia.
Wafatute instagram