Nawezaje kujua rangi ya ile kitu iliyofunikwa bila kuiona?

What is puberty?

Maana huna cha kuuliza wacha tukuulize sisi.
 
Dogolii umebugi jukwaa sio la kuandika hizo mada. Kuna jukwaa lake peleka huko. Mod hamisha uzi wa huyu kitunguu maji kabla wahuni hatujakiungia mboga tukile
Dah. Nina maana yangu ndo mana nimeuliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…