Nawezaje kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta? Ikiwa mimi natumia gari?

Hakikisha gari Yako unafanyiwa service sahihi na Kwa wakati sahihi, pili, epuka kufunga vitu ambavyo sio recommended Kwa hio gari, ukiongeza mbwembwe kwenye gari Kuna uwezekano wa consumption kuongezeka pia (sizungumzii radio au honi)
 
Namba tano hapo 🤣🤣🙌
Hapa ni kudeal na elimination of CCM period. All these years since We got our independence nothing We can be proud of comparing to others.
 
Kwani lazima kutumia gari. Hebu tafuta ka tvs alafu tia full tank ni lita 10 sio hela kubwa ila utazunguka mpka uchoke
Ngoja tukomae na magari tu. Tutakua tunayatumia panapokua na uhitaji. Pikipiki zina changamoto nyingi maana kipindi cha kiangazi unaoga vumbi tu njiani, ikifika masika ni kunyeshewa yani hakuna afadhali...
 
Eti niombe kwa ajili ya viongozi...... Hawa hawa?
 
Yaani up nanua kluger alfu unatia wese la elf 20 kudadeki mtakomaa weka full tank acha ubabahifu kaka gari unanunua milion. 17 alfu unalia pesa za mafuta week full tank Mara mbili kwa mwezi uone kama utalialia mafuat
 
Na watu wengi wakipaki magari wakitumia usafiri wa umma +kutumia miguu ,huko juu wakuona mafuta hayanunuliki sana wenyewe bei watakuja kuweka sawa,ila watu wenye magari wakiishia kulalamika huku wanayatumia wataendelea kuburuzwa tu

Ova
Serious bro.. tunafanyiwa uhuni sana.
 
Kuandamana ndio njia pekee kuiilazimisha serikali kupunguza kodi kandamizi kwenye bei za mafuta. Kudai Katiba amabyo itaweka ukomo wa kodi inayoweza kudaiwa kwa raia. Na kuwajibisha serikali kuwa na matumizi mazuri ya kodi ili kodi ifanye yale ya muhimu kwa raia na sio matumizi mabovu ambayo yanatuumizi sisi walipa kodi kwa kudaiwa kodi zaidi.
 

Mkuu umenena vyema. Kuna mtu niliwahi kumshauri, alikuwa na gari ya cc ndogo akaiuza akanunua gari kubwa yaani akiwa barabarani hana tofauti na mbunge au kiongozi flani mkubwa wa serikali. Nikamwambia utakuja kuteseka mbeleni, akaona kama namwonea wivu. Ukizingatia mshahara wake ni wa kawaida sana plus makato ya mikopo benk na nature ya kazi yake hana safari za kumpa per diem (kwa mwaka mzima kipato kutokana na safari za kikazi hakizidi 3 au 4 m). Sasa hivi muda mwingi amepaki gari anawasha tu akiwa kazini zile movements za kutoka gheto alikopanga kwenda ofcn na kurudi. Nje ya hapo hawezi kwenda nayo ruti ndefu hata km 100 haendi analia mafuta.
 
Dawa ni kupaki tu magari

Wayatumie wenyewe hayo mafuta

Watu wakomae tu na usafiri wa umma,mguu

Ova
 

Pia kituo kingine kina tegemewa kujengwa chuo kikuu cha UD ,nina mategemeo makubwa hizi bei za mafuta kuendelea kupanda ita saidia ku push kujenga vituo vipya vya CNG.Pia nina matumaini katibu mkuu nishati na naibu waziri mkuu wana enda kuongeza idadi ya vituo vya CNG huu ni wakati wa Naibu waziri Mkuu kutumia power yake ya Madaraka kuhakikisha vituo vya CNG vina ongezeka na kuondoa Misululu mirefu pale vetenary na ubungo kwa watu wana tumia hadi masaa matatu kwenye foleni ya kujaza gasi.Kwa nchi yetu ni aibu sasa kuwa na vituo viwili tu vya gasi kwa huduma zs public nchi nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…