Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Msaada tutani wakuu.
Nawezaje kujua kama huyu ndiye au siye? Je wana alama yoyote kama wamakonde au?
Naomba niachwe kwanza nisihojiwe kwa sasa nipo kwenye uchunguzi maalum.
Tafadhali vijana wa hovyo msinambie nikamwulize mwakinyo.🤣
Nawezaje kujua kama huyu ndiye au siye? Je wana alama yoyote kama wamakonde au?
Naomba niachwe kwanza nisihojiwe kwa sasa nipo kwenye uchunguzi maalum.
Tafadhali vijana wa hovyo msinambie nikamwulize mwakinyo.🤣