Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #21
decode mkuu🤣Ukiona nyanyachungu zimewekwa kwenye kisosi cha chai ujue ndiye!😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
decode mkuu🤣Ukiona nyanyachungu zimewekwa kwenye kisosi cha chai ujue ndiye!😅
😹😹😹 na machicha ya nazi bila kusahau kigodaUkiona nyanyachungu zimewekwa kwenye kisosi cha chai ujue ndiye!😅
eti eeh? ngoja nitafute hilo gomaSikiliza Wimbo wa Bwana Misosi vizuri ule wa 'MABINT WA KITANGA' ameelezea baadhi ya sifa mkuu.
🤯🤯zongo ndonn mkuu au ulimaanisha zogo?Ngoja upigwe zongo nyege zote zitakuisha 😹😹😹
,Msaada tutani wakuu.
Nawezaje kujua kama huyu ndiye au siye? Je wana alama yoyote kama wamakonde au?
Naomba niachwe kwanza nisihojiwe kwa sasa nipo kwenye uchunguzi maalum.
Tafadhali vijana wa hovyo msinambie nikamwulize mwakinyo.🤣
MapishiMsaada tutani wakuu.
Nawezaje kujua kama huyu ndiye au siye? Je wana alama yoyote kama wamakonde au?
Naomba niachwe kwanza nisihojiwe kwa sasa nipo kwenye uchunguzi maalum.
Tafadhali vijana wa hovyo msinambie nikamwulize mwakinyo.🤣
ulimtoa wapi kijana,,mgodechi au wikichi😆au maheveDah kuna moja inaitwa beshuu aisee nanyonya mpaka kope😀
Mambo ya visosi na mishumaa
Ooh ok,
Kwa kumuuliza
Ooh ok
unaenda sehemu mfano stendi ya basi unaanza kuuliza watu randomly "we unatoka tanga?" au inakuwaje?
Tanga segera 😀😀ulimtoa wapi kijana,,mgodechi au wikichi😆au maheve
Tawire kiongozi 🙏Hiyo ni strategy pia, nzuri sana, ndiyo
Nikajua itulikeTanga segera 😀😀
😀😀itulike wanajua ushirikina tuNikajua itulike
kwenda usinitukanie kwetu.😀😀itulike wanajua ushirikina tu
Ndio nyumbani?kwenda usinitukanie kwetu.
Yes yes sirNdio nyumbani?