Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Wenyewe wanaziita ngogwenyanyachungu
Eeh hizohizoWenyewe wanaziita ngogwe
Usimkatishe tamaa bwana ๐๐acha aka jionee mwenyewe, tena bora aende sambaani akiwa muislamu anapata mke kwa mahari ndogoDuh aiseee ukipigwa matukio usije unganisha wanawake wote bali simanga watanga pekee
Ukipishana nae ananukia iliki.....tayari huyo usiulize
Hajaogeshwa huyu na maji ya Tangawizi asingeuliza ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Toa code hiyo mkuuHawanaga moja kwenye mbili
Mmh hata wazaramo wapo wa maji ya kundeMaji ya kunde๐