InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,176
Tena akipata Sensodyne Gel itakuwa vizuri zaidi....Pia kuna hii dawa inaitwa RASYAN Ipo vizuri sana hata unavyoitumia unahisi kweli unatumia dawa na mabadiliko unayaona baada ya wiki tu kwa kupiga mswaki kihusahihi.Mnunulie Sensodyne na mswaki wa colgate kama zawadi. Mwambie atumie hio itamsaidia meno yake yawe ang'avu sana.
Akiiťumia kikamilifu huenda tatizo likaisha.
Hilo nalo neno, nilichogundua watu wengi hatujui kuwa tunanuka mdomo na hata kikwapaUnauhakika wewe hunuki
Ma slay queen ndo walivyo hvyo kama hatanuka kwapa atanuka mdomo au atakupa gono yaani wanajali muonekano wa nje kuliko wa ndani.Habari za asubuhi wana jamvi
Nimeamua sasa nililete kwenu mwaeza nipo ushari namna ya kulitatua suala hili.
Ni hivi mimi nina mpenzi wangu wa kike yapita mwaka sasa ananipenda nami na mpenda kweli shida inakuja pale tukitoka kwa jili ya mgegedo mwenzangu huwa anapendeza sana kote lakini harufu mbaya ya kinywa yaani ananuka mdomoni
Haswa nikiwa natamani kumpiga denda lakini nashindwa namna ya kumfikia mdomoni sababu ya ile harufu. Hii imekuwa kama kero kwangu na kunimaliza kabisa hamu ya kuendelea na game please naombeni ushauri namna bora ya kumueleza.
Samahan kwa kukosea kichwa cha habari ni
USHAURI SIO USHARI
Bei gani hii rafiki??Tena akipata Sensodyne Gel itakuwa vizuri zaidi....Pia kuna hii dawa inaitwa RASYAN Ipo vizuri sana hata unavyoitumia unahisi kweli unatumia dawa na mabadiliko unayaona baada ya wiki tu kwa kupiga mswaki kihusahihi.
SahihiHilo nalo neno, nilichogundua watu wengi hatujui kuwa tunanuka mdomo na hata kikwapa
Ila mdomo unajua kunuka jamani... khaa!!🙌🙌🙌 Ile harufu hua haivumilikiSahihi
😂😂😂 Na kwapaIla mdomo unajua kunuka jamani... khaa!!🙌🙌🙌 Ile harufu hua haivumiliki
Ma slay queen ndo walivyo hvyo kama hatanuka kwapa atanuka mdomo au atakupa gono yaani wanajali muonekano wa nje kuliko wa ndani.
...kati ya elfu 6-8. Zingatia Expire Date.Bei gani hii rafiki??
[emoji1787][emoji1787][emoji848][emoji2960]duh jmnMimi nna swali tatizo hilo limeanza karibuni au toka zaman?
Maana kama toka zaman sijui uliwezaje biggest turn off ni harufu ya mdomo, body odour na meno ya njano...demu akiwa na hivyo first dates piga chini chap
Mkuu yeye kasema ataanza je kumwambiaIshu kama tonsil stones zinawatesa sana uwe unampeleka kwa daktari achekiwe sio kumpeleka saloon tu...Jaribu kumwambia atumie dawa nzuri kama sensodyne na kutumia mouth washa kusukutua haizidi 1500
Aseeeee....umemaliza vibaya. Anaweza mtema then mbeleni akamtafuta tena. Na utakuta alishampata jamaa mwingine wakapambana na tatizo likaisha.Mpe suprise na madawa ya meno mara kwa mara, ikibidi mteme mbona wapo wengi tu wanaonukia
Mbinu imekaa kiukatili wa mchongo....Mkimaliza tu mgegedo kabla hujashuka toka kiunoni mwake unamwambia baby we ni mtamu sana lakini tatizo lako unatoa harufu mbaya mdomoni sijui hauswaki vizuri!!!!?
Hebu amka tukaswaki kwanza tuje tuzagamuane tena bado nina hamu sana na wewe nikupige miti