Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Mnunulie mouthwash za kusukutua, med oral ni nzuri,tho zipo nyingi sana, mununulie na colgate maxfesh ile nyekundu nzuri sana. Wewe mpe kama zawadi.Habari za asubuhi wana jamvi
Nimeamua sasa nililete kwenu mwaeza nipo ushari namna ya kulitatua suala hili.
Ni hivi mimi nina mpenzi wangu wa kike yapita mwaka sasa ananipenda nami na mpenda kweli shida inakuja pale tukitoka kwa jili ya mgegedo mwenzangu huwa anapendeza sana kote lakini harufu mbaya ya kinywa yaani ananuka mdomoni
Haswa nikiwa natamani kumpiga denda lakini nashindwa namna ya kumfikia mdomoni sababu ya ile harufu. Hii imekuwa kama kero kwangu na kunimaliza kabisa hamu ya kuendelea na game please naombeni ushauri namna bora ya kumueleza.
Samahan kwa kukosea kichwa cha habari ni
USHAURI SIO USHARI
ππ Nyieee kuna kwapa niliwahi kutana nao alooo panya akasome. Sema mdomo nao ni noma yaani.Bora kwapa my...
Domo likinuka unaweza kutapika.
Hapo lazima hamu zitamuisha aseeMkimaliza tu mgegedo kabla hujashuka toka kiunoni mwake unamwambia baby we ni mtamu sana lakini tatizo lako unatoa harufu mbaya mdomoni sijui hauswaki vizuri!!!!?
Hebu amka tukaswaki kwanza tuje tuzagamuane tena bado nina hamu sana na wewe nikupige miti
Ndio nini? na unatibuje?Dawa si mswaki dawa ni tiba ya kinywa, huenda tonsils stone ndio zinaleta shida.
Kuna kama vitezi flani vinaota kwenye tonsils.Ndio nini? na unatibuje?