Nawezaje kununua Hisa za makampuni ya nje ya nchi?

Angejua Berkshire Hathaway Inc hisa moja ni Dollar 465600 asingeandika alichoandika
Ivi unajua ni % ngapi ya watu inamiliki shares BHK mzee? Ni sorts za Bill gates etc sasa unafikiri mtu mwenye huo uwezo angekua anadiscuss kununua shares JF?

Mtoa mada alisema shares nyingi ni expensive, ni kweli shares nyingi ni $100,000? Apart from BHK kuna kampuni gani nyingine yenye share gharama hiyo? Muda mwingine tuache ubishi tuelezane uhalisia.
 
Akikujibu nitag Mkuu.
 
Brokers mimi namtumia interactive brokers ishu itakayokupashida ni ku deposit.

Ku deposit kuna namna maana BOT wanazuia
Mkuu naomba mwongozo unawezaje kudeposit kwenye Interactive Brokers? Pia ni vipi naweza kununua Hisa kupitia hawa brokers?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…