Ningependa tu kuonana na Mh Mbunge Mwigulu Nchemba. Nimetumia jina la Mh Mbunge kwa sababu inakuwa rahisi kuweza kumuona tofauti na Waziri, kwa maana jina la Uwaziri linamajukumu mengi
Nahisi nikikutana naye nitatimiza furaha yangu ya moyo wangu na ujumbe wangu atausikia na kuutendea kazi binafsi
Nawezaje kuonana naye, Mungu saidia ujumbe huu aupate
By Paul Mpella
Niko Bagamoyo mpakani mwa Tanga kwa sasa
Mungu mbariki Waziri Nchemba
Nahisi nikikutana naye nitatimiza furaha yangu ya moyo wangu na ujumbe wangu atausikia na kuutendea kazi binafsi
Nawezaje kuonana naye, Mungu saidia ujumbe huu aupate
By Paul Mpella
Niko Bagamoyo mpakani mwa Tanga kwa sasa
Mungu mbariki Waziri Nchemba