Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
G nako warawara ana majibu.Hello.
Nawezaje kuondoa rangi kwenye meno na yakawa meupe kabisa?
Nimeshasugua Sana na mkaa ila bado
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Kuna clinici ipo VETA CHANG'OMBE IKO JENGO LA SOFIA HOUSE GHOROFA YA KWANZA PALE FRESH UNAWEZa kwenda wakakusafisha meno yako vzuri ila km Upo DSM wanaitwa Dental care Clinic Solutiln. Km una bima ya NHIF na Pia Bima ya Stragies.Hello.
Nawezaje kuondoa rangi kwenye meno na yakawa meupe kabisa?
Nimeshasugua Sana na mkaa ila bado
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Unaitumia vpBicarbonate
Niko mbali na inchi mkuu.Kuna clinici ipo VETA CHANG'OMBE IKO JENGO LA SOFIA HOUSE GHOROFA YA KWANZA PALE FRESH UNAWEZa kwenda wakakusafisha meno yako vzuri ila km Upo DSM wanaitwa Dental care Clinic Solutiln. Km una bima ya NHIF na Pia Bima ya Stragies.
Nunua mswaki mpya tofauti na ule unaoutumia kuswaki.Unaitumia vp
Mbali na inchi! Unapima nini tena na lura mbona unachanganya mambo.
Mbali na inchi! Unapima nini tena na lura mbona unachanganya mambo.
Hebu kenua hayo meno tuyaone mkuu!Hello.
Nawezaje kuondoa rangi kwenye meno na yakawa meupe kabisa?
Nimeshasugua Sana na mkaa ila bado
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
MAREKEBISHO:Unaitumia vp
Hello.
Nawezaje kuondoa rangi kwenye meno na yakawa meupe kabisa?
Nimeshasugua sana na mkaa ila bado
instagram.com
Call 0678211747Hello.
Nawezaje kuondoa rangi kwenye meno na yakawa meupe kabisa?
Nimeshasugua sana na mkaa ila bado