Nawezaje kupata 'DSTV Now' nikiwa Ulaya?

Nawezaje kupata 'DSTV Now' nikiwa Ulaya?

Habari Ndugu nina Shida, Najaribu kutumia DSTV NOW ila inaniambia this Item is not available in your Region. Nimejaribu kutumia VPN ya Tanzania bila mafanikio. Nitumie njia gani ili niweze kuwa natazama DSTV now nikiwa Ughaibuni?. Asante.
vpn ya Tanzania ndio ipi? isijekuwa vpn inamilikiwa na mtanzania lakini server zipo us. sababu ya copy rights dstv wanaruhusiwa kuonesha kusini mwa jangwa la sahara tu.
 
vpn ya Tanzania ndio ipi? isijekuwa vpn inamilikiwa na mtanzania lakini server zipo us. sababu ya copy rights dstv wanaruhusiwa kuonesha kusini mwa jangwa la sahara tu.
Inaitwa "Hola VPN" mkuu
 
nimeicheki mkuu kikawaida inafanya kazi, umetumia extension ya browser? jaribu kuiweka kwenye browser unayo access dstv now
Duh imegoma mzee, ninachofanikiwa ni kusign in tu. maana bila vpn hata kufunguka haitaki kabisa ila ninapotaka tu kuanza kuplay video inanipa ujumbe kuwa siwezi kuona
 
Nimejaribu mzee nimechemka, nafanikiwa hadi kusign in ila kwenye kuplay video naletewa ujumbe kuwa siwezi kupata huduma hiyo sababu nipo nje ya eneo
Huko uko uswahilini hamia maeneo ya kueleweka utaipata
 
Habari Ndugu nina Shida, Najaribu kutumia DSTV NOW ila inaniambia this Item is not available in your Region. Nimejaribu kutumia VPN ya Tanzania bila mafanikio. Nitumie njia gani ili niweze kuwa natazama DSTV now nikiwa Ughaibuni?. Asante.
Ulaya hii ya mbozi mbeya!!!!
 
Back
Top Bottom