Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu salamu,
Wakuu nitakuwa Dodoma Siku ya Leo na kesho pia. Je, naweza kupata wapi jezi za Yanga za msimu huu? Zilizozinduliwa Jana.
Kwani jezi za Yanga zishazinduliwa?
Nenda maduka ya GSM (max na splash) Shoppers plaza na capital city mall natumai utapata.Wakuu salamu,
Wakuu nitakuwa Dodoma Siku ya Leo na kesho pia. Je, naweza kupata wapi jezi za Yanga za msimu huu? Zilizozinduliwa Jana.
Habari ya mjini ndo hiyo sasa.Wakati jana ilikuwa ni Hamza Msomali Day [emoji3][emoji3][emoji3]
Eng. amesema sogea hapo maduka ya GSM.Wakuu salamu,
Wakuu nitakuwa Dodoma Siku ya Leo na kesho pia. Je, naweza kupata wapi jezi za Yanga za msimu huu? Zilizozinduliwa Jana.
Na zile jezi za buku tatu tatu siyo! Hizo hata kwa wamachinga unazipata tu fresh!! siyo lazima uende kwa huyo Vunja bei nani sijui. Tena zinapatikana zikiwa na majina kabisa ya Babu Onyango, Babu Kagere, Babu Nyoni, Babu Boko, nk.Vichupi fc mnatema mate tu hali tete.
Subirieni vunja bei awavunje mbavu.