Nawezaje kupata leseni

Nawezaje kupata leseni

zeus47

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
233
Reaction score
307
Habarini wakuu, mimi nilimaliza driving school miaka ya nyuma kidogo na muda wote huo nilikuwa nimeenda nje kimasoml. Hatimaye nimerudi rasmi na ni muda muafaka wa kuwa na leseni. Bahati mbaya shule yangu ya driving imefungwa kwa hiyo sikuweza kupata cheti changu cha mafunzo. Kama kuna mtu anaweza kunisaidia nipate leseni naomba tuwasiliane. Asante sana
 
Je baada ya kumaliza mafunzo ulikwenda kufanya test vehicle???Je traffic alikupitisha na ile GRR???Kama unayo nenda kachukue leseni ama sivyo urudi tena chuo.
Ama kwa njia ya magumashi sema usaidiwe...
 
Back
Top Bottom