Nawezaje kupata tenda ndogondogo ndani ya mradi wa SGR?

Nawezaje kupata tenda ndogondogo ndani ya mradi wa SGR?

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,011
Reaction score
4,705
Habari wakuu.

Naomba kufahamu ni utaratibu gani wa kufuata ili kupata Tender ya kazi ndogo ndogo kwenye mradi wa SGR. mfano kama kufanya landscape na kuotesha ukoka kule pembeni(Garden).

naomba mwenye ufahamu aniambie maana naona kuna Company kibao zinafanya kule kazi kama sub contractors. Ila Main contractor ni hawa jamaa wa YAP Merkez.

Natanguliza Shukrani

23 AGOST 2022 Tujitokeze kuhesabiwa
 
Kwa uandishi huu huwezi kupata hiyo tender. Wewe endelea na udalali
 
Kwa uandishi huu huwezi kupata hiyo tender. Wewe endelea na udalali
Nimejaribu kufuatilia naona Kila comment yako unatukana watu. Inaonekana wewe ni mtu unayepitia wakati mgumu sana kwenye masuala ya kiuchumi na mahusiano SI Ajabu ni mlevi wa Double kick
Screenshot_20220812-101121.jpg
 
Nimejaribu kufuatilia naona Kila comment yako unatukana watu. Inaonekana wewe ni mtu unayepitia wakati mgumu sana kwenye masuala ya kiuchumi na mahusiano SI Ajabu ni mlevi wa Double kick
Kuna watu humu wana stress kiongozi, nilidhani ni mimi tu kumbe wengi wanaandamwa
 
Jaribu kupita kwenye website yao na ya gpsa pia.
Pita
 
Nimejaribu kufuatilia naona Kila comment yako unatukana watu. Inaonekana wewe ni mtu unayepitia wakati mgumu sana kwenye masuala ya kiuchumi na mahusiano SI Ajabu ni mlevi wa Double kickView attachment 2321622
Huyu jamaa ana Tabia ya kudhalilisha watu Sana, kwenye Sensa alikuwa akiwalaumu na kuwatukana walimu Sana,kisa kakosa, inaonekana ana maisha magumu na stress nyingi
 
Back
Top Bottom