Abubakar liviga
New Member
- Aug 27, 2022
- 2
- 0
Nilijirejista kuangalia AVN number yangu na ikafika kweny kipengele Cha kuangalia information zangu Kama ziko sawa nikajiridhisha kuwa zipo sawa nikabonyeza continue lakini mtandao nahisi ulikuwa unasumbua ivyo ikaja blank page Haina kuti.
So nikaamua kurudi nyuma na iliporudi kuingia tena inanikatalia kuwa nishajirejista lakini sikuiona surname yangu wala password na nikiomba kuwa nimesahau password inaniambia kuwa inanionyesha kuwa user name or namb ya sim or email siyo sahihi wakati ziko sahihi na uzuri nilipiga screenshot kabla ya kuendelea
So nikaamua kurudi nyuma na iliporudi kuingia tena inanikatalia kuwa nishajirejista lakini sikuiona surname yangu wala password na nikiomba kuwa nimesahau password inaniambia kuwa inanionyesha kuwa user name or namb ya sim or email siyo sahihi wakati ziko sahihi na uzuri nilipiga screenshot kabla ya kuendelea