Kanga dume anakuwa na mwili mkubwa jike anakuwa na mwili mdogo.
Pia tunaangalia masikio jike masikio yake yanajipinda kwa mbele dume masikio yake hayajipindi.. kwa usahihi zaidi nitakutumia picha kesho kama bado utakuwa hujapata jibu lakueleweka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.