Nawezaje kuuza au kufaidika na wazo langu la ubunifu?

Nawezaje kuuza au kufaidika na wazo langu la ubunifu?

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
9,748
Reaction score
26,238
Wakuu kuna mdogo wangu ana uzoefu na mambo ya IT. Juzi juzi alinishirikisha wazo lake la ubunifu lakini linafaa sana kuwa implemented na makampuni yanayotengeza simu kama nokia, samsung n.k. Tukajaribu na kuperuzi ktk forums na website zao lakin hatukufanikiwa kupata namna gani bwana mdogo anaweza akawauzia au kufaidika na wazo lake endapo wangeridhia.
Wakuu kwa mwenye uzoefu, mawazo ya kujenga au anaefahamu vizuri hii ishu tafadhali tunaomba msaada wako.
 
Mpaka hapo wewe na huyo mdogo wako kama kweli wote mmeishafeli.Sasa sijui hao mtawapelekea nini.

Wewe dunia hii na mtaalam wa IT kama unavyojiita unashwindwa kutafuta conctacts za Makampuni makubwa kama hayo?
IT za kikwetukwetu kweli kazi ipi,ndugu we tulia wauzie wazo hilo wabongo wenzio hapahapa,huko siko.

Yaani kama hata kutafuta mawasiliano na makampuni hayo imekushindwa na ni IT Professional,kwangu mie nakushauri tulia na kuwa mpole.
Nenda pale Tigo au Voda wape wazo lako ili walichuje kwanza na kukushauri kabla ya kupeleka huko.
 
Back
Top Bottom