Nawezaje kuwa Kitengo?

Nawezaje kuwa Kitengo?

Ngoja tufuatilie nyendo na uzalendo wako kwa nchi. Subiri. Tutazingatia. Usije DM. Period
 
Ni "uzalendo"?

Maana sisi wananchi wengine milioni 60 tunaofanya kazi kubwa ya ujenzi wa taifa mpaka hayo maofisi ya serikali yanapata magari ya fahari sio "wazalendo" na ni wapumbavu hatuna maana nyie ndio "wazalendo"?

Hii jeuri viwafanyakazi vya serikali vinakuaga nayo ni so depressing to hear.

FVCK Y'ALL!
It seems you are too much emotional and agressive indeed .. Take it an easy and relax brother
 
Mkuu The ice breaker achanana na alinacha fanya mambo mengine usije ukawa moja ya mabro wanaozungumziwa na Wrevta ukishindwa vyote nenda kasome Doyen (google) kule Ghana ukirudi Bongo utakuwa na chakufanya japo kwa kuanzia
 
Unatamani kazi mbaya .japo kwa umri wa 28 huwezi hata fikiliwa
 
Back
Top Bottom