Nawezaje kuwa Mwanasiasa bora

Nawezaje kuwa Mwanasiasa bora

bigmen

Senior Member
Joined
Jul 3, 2020
Posts
147
Reaction score
325
Habari Wana JF,

Nafahamu kuwa siasa haiangalii elimu uliyo nayo hata Kama we ni darasa la Saba una weza kuingia kwenye siasa. Mimi ni kijana nilie hitimu kidato Cha nne lkn kila siku za maisha yangu nimekuwa nikijiona sehem flan katika hii nchi japo kufikia hatua hizo imekuwa ngumu kwangu.

Nina mambo kadhaa ningependa mnisaidie ili kuweza kufikia hatua hizo ambazo naziota kila siku, Mambo yenyewe ni Kama vile :-

1/ Aina gani ya vitabu vya kisaikolojia na kisiasa naeza kusoma vikanikuza kiakili, kifikra, na niweze kunifahamu siasa overall.

2/ Njia gani naeza kupita nifanye nini kila siku ili kujongea kwenye hatua nazo hitaji kuzifikia.

3/ Niwe mtu wa aina gani kwa jamii inayonizunguka ili kujenga heshima na kupata imani kwa wanao nizunguka.

4/ Uongozi ni wito, japo si kila kiongozi au mwanasiasa ana wito, je najuaje Kama Nina wito kweli.
 
Habari Wana JF,
Nafahamu kuwa siasa haiangalii elimu uliyo nayo hata Kama we ni darasa la Saba una weza kuingia kwenye siasa. Mm ni kijana nilie hitimu kidato Cha nne lkn kila siku za maisha yangu nimekuwa nikijiona sehem flan katika hii nchi japo kufikia hatua hizo imekuwa ngumu kwangu.

Nina mambo kadhaa ningependa mnisaidie ili kuweza kufikia hatua hizo ambazo naziota kila siku, Mambo yenyewe ni Kama vile :-

1/Aina gani ya vitabu vya kisaikolojia na kisiasa naeza kusoma vikanikuza kiakili, kifikra, na niweze kunifahamu siasa overall.

2/Njia gani naeza kupita nifanye nini kila siku ili kujongea kwenye hatua nazo hitaji kuzifikia.

3/Niwe mtu wa aina gani kwa jamii inayonizunguka ili kujenga heshima na kupata imani kwa wanao nizunguka.

4/Uongozi ni wito, japo si kila kiongozi au mwanasiasa ana wito, je najuaje Kama Nina wito kweli.
Siasa ya bongo inahitaji nani anakujua zaidi.
 
Kama unataka kuwa mwanasiasa Anza harakati mahala ulipo. Soon utajulikana.


Lkn kama unataka cheo na wewe ni KE mpatie Amos Makalla ama Nchimbi hiyo K aitafune vya kutosha. Miezi 8 mingi utakuwa ushateuliwa kuwa DC.
 
Hapa kwetu haitaji elimu kubwa..
Cheza nawaganga pia ujue mambo baadhi nauwe muongeaji sana kabla yakupata nafas
 
Siasa za bongo ni pasua kichwa,anza kujipendekeza,tukana wapinzani wako kisiasa,honga waliojuu kumbuka mkono mtupu haulambwi,tafuta kundi lenye nguvu jiunge nao,kuwa chawa na mnafiku jua kuenda na upepo.
 
Jfunze kupiga blahblah
Jifunze uwongouwongo
Utakuwa mwanasiasa bora

Ova
 
Habari Wana JF,

Nafahamu kuwa siasa haiangalii elimu uliyo nayo hata Kama we ni darasa la Saba una weza kuingia kwenye siasa. Mimi ni kijana nilie hitimu kidato Cha nne lkn kila siku za maisha yangu nimekuwa nikijiona sehem flan katika hii nchi japo kufikia hatua hizo imekuwa ngumu kwangu.

Nina mambo kadhaa ningependa mnisaidie ili kuweza kufikia hatua hizo ambazo naziota kila siku, Mambo yenyewe ni Kama vile :-

1/ Aina gani ya vitabu vya kisaikolojia na kisiasa naeza kusoma vikanikuza kiakili, kifikra, na niweze kunifahamu siasa overall.

2/ Njia gani naeza kupita nifanye nini kila siku ili kujongea kwenye hatua nazo hitaji kuzifikia.

3/ Niwe mtu wa aina gani kwa jamii inayonizunguka ili kujenga heshima na kupata imani kwa wanao nizunguka.

4/ Uongozi ni wito, japo si kila kiongozi au mwanasiasa ana wito, je najuaje Kama Nina wito kweli.
Hivyo ni vitu viwili tofauti. Chagua kimoja.
 
Habari Wana JF,

Nafahamu kuwa siasa haiangalii elimu uliyo nayo hata Kama we ni darasa la Saba una weza kuingia kwenye siasa. Mimi ni kijana nilie hitimu kidato Cha nne lkn kila siku za maisha yangu nimekuwa nikijiona sehem flan katika hii nchi japo kufikia hatua hizo imekuwa ngumu kwangu.

Nina mambo kadhaa ningependa mnisaidie ili kuweza kufikia hatua hizo ambazo naziota kila siku, Mambo yenyewe ni Kama vile :-

1/ Aina gani ya vitabu vya kisaikolojia na kisiasa naeza kusoma vikanikuza kiakili, kifikra, na niweze kunifahamu siasa overall.

2/ Njia gani naeza kupita nifanye nini kila siku ili kujongea kwenye hatua nazo hitaji kuzifikia.

3/ Niwe mtu wa aina gani kwa jamii inayonizunguka ili kujenga heshima na kupata imani kwa wanao nizunguka.

4/ Uongozi ni wito, japo si kila kiongozi au mwanasiasa ana wito, je najuaje Kama Nina wito kweli.
Tukana CHADEMA.
 
Hakuna mwanasiasa bora bali kuna wanasiasa mahiri.

Haiwezekani ukawa mwanasiasa bora. Kuwa mwanasiasa ndio unaweza lakini ukishakuwa mwanasiasa sahau ubora.
Ina maana Bora na umahiri ni vitu tofauti, ?
 
Habari Wana JF,

Nafahamu kuwa siasa haiangalii elimu uliyo nayo hata Kama we ni darasa la Saba una weza kuingia kwenye siasa. Mimi ni kijana nilie hitimu kidato Cha nne lkn kila siku za maisha yangu nimekuwa nikijiona sehem flan katika hii nchi japo kufikia hatua hizo imekuwa ngumu kwangu.

Nina mambo kadhaa ningependa mnisaidie ili kuweza kufikia hatua hizo ambazo naziota kila siku, Mambo yenyewe ni Kama vile :-

1/ Aina gani ya vitabu vya kisaikolojia na kisiasa naeza kusoma vikanikuza kiakili, kifikra, na niweze kunifahamu siasa overall.

2/ Njia gani naeza kupita nifanye nini kila siku ili kujongea kwenye hatua nazo hitaji kuzifikia.

3/ Niwe mtu wa aina gani kwa jamii inayonizunguka ili kujenga heshima na kupata imani kwa wanao nizunguka.

4/ Uongozi ni wito, japo si kila kiongozi au mwanasiasa ana wito, je najuaje Kama Nina wito kweli.
Hebu kuwa chawa kwanza.
 
Siasa ya Bongo

Unahitaji kuwa muongo
Unahitaji kuwa Chawa
Unahitaji kuwa fitna
Unahitaji kuwa Mwizi kila unapopata fursa
Unahitaji kuwa Mshirikina

Achana na vitabu focus na hayo
 
Back
Top Bottom