Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Nini sababu ya hiyo sononi yako,maana umeshatugusia kwamba haihusiani na mapenzi,tujuze tujue wapi tunaanza kukushauru
 
Nini sababu ya hiyo sononi yako,maana umeshatugusia kwamba haihusiani na mapenzi,tujuze tujue wapi tunaanza kukushauru
Mkuuu...wakati naweka hili bandiko nilikua naumwa....

Ila kwa uwezo wa Allah...nimepona
 
Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…