Aliliwa kiboga?Yupo rasta flan dereva tours Arusha alitaman mwanamke wa kizungu basi siku wakamtumia tiket akaenda Ujeruman alipofika huko akapokelewa vizur wakampeleka kwenye jumba fulan sehemu za Mashambani wakaanza kumla kwa zamu jamaa mpaka hamu ilipoisha jamaa hoi.
Wazungu kweli wajinga, yaani rasta tu zinamtoa ufahamu, nakumchengua kiasi hicho? Nashukuru wademu wetu wa kiarabu hawako hivyo na ndo mwanawake ghari zaidi dunianifuga rasta ,lugha ujue kiingereza na nenda Arusha VIAVIA kila Alhamis
Hapa nataka kuendelea kufuatilia huu mtanange nani atageuka mshindi..Sasa mkuu mapesa yote hayo unayomiliki...yanini kuja kuhangaika mitandaoni kutafuta madem wa kizungu?
Hahaha Jana nimetimua wafanyakazi wawili..ungekuwa na akili ningekusaidia kuondokana na shida za kukaa kwa shemeji..emty set kabisa
Hivi bado unafanya ujasiriamali wewe tahira
Ndo tatizo la jf hili,mbuzi kama wewe unaropoka tu bila kujua unaongea na nani,kwa pesa nilizonazo nakulisha wewe,mama ako,baba ako,mjomba wako,Dada ako,mke wako,watoto wako nawajengea nyumba nyie kazi yenu iwe kula na kunya tu
Wewe hebu badilisha kauli hao mademu wa kiarabu watu kila siku wanaruka majoka nao tena bureeeee kwanza wana njaaa sana bora ata mwantumu wangu anaweza kuwa ghali kuliko hao wanao enda kujazana coco beach juma pili.Wazungu kweli wajinga, yaani rasta tu zinamtoa ufahamu, nakumchengua kiasi hicho? Nashukuru wademu wetu wa kiarabu hawako hivyo na ndo mwanawake ghari zaidi duniani
Jumlisha na kuwapiga paipu.Ndo tatizo la jf hili,mbuzi kama wewe unaropoka tu bila kujua unaongea na nani,kwa pesa nilizonazo nakulisha wewe,mama ako,baba ako,mjomba wako,Dada ako,mke wako,watoto wako nawajengea nyumba nyie kazi yenu iwe kula na kunya tu
Labda anawapenda tu...Sasa mkuu mapesa yote hayo unayomiliki...yanini kuja kuhangaika mitandaoni kutafuta madem wa kizungu?
Nyuma ya keyboard kila mtu milionea.Labda anawapenda tu...
hebu nisaidie mimi mkuu kama kuna fulsa aisee. maana nimechoka kukaa bila hata kaziHahaha Jana nimetimua wafanyakazi wawili..ungekuwa na akili ningekusaidia kuondokana na shida za kukaa kwa shemeji..emty set kabisa
Mkuu mbona hiyo simple sana Mimi nilimpata mfilipino alikuwa akinipigia mida ya alfajiri pale tunawasiliana sana na Mara ya mwisho tulivinjari sana wakati tunakutana Hong Kong japo yeye alikuwa akielekea kikazi Lebanon.
Kikubwa mkuu ni usmart wako tu katika uwasilishaji wa vitu na uaminifu wako,hawapendi uongo kamwe.
chuga sehemu gani acha uongoNjoo chugga wapo kibao, hadi wa kujiuza