Nawezaje nikapata demu Mzungu??? Msaada tafadhali

Nawezaje nikapata demu Mzungu??? Msaada tafadhali

Yupo rasta flan dereva tours Arusha alitaman mwanamke wa kizungu basi siku wakamtumia tiket akaenda Ujeruman alipofika huko akapokelewa vizur wakampeleka kwenye jumba fulan sehemu za Mashambani wakaanza kumla kwa zamu jamaa mpaka hamu ilipoisha jamaa hoi.
Aliliwa kiboga?
 
Sasa mkuu mapesa yote hayo unayomiliki...yanini kuja kuhangaika mitandaoni kutafuta madem wa kizungu?
Hapa nataka kuendelea kufuatilia huu mtanange nani atageuka mshindi..

Maana kunapo elekekea ni kutamu..
Hahaha Jana nimetimua wafanyakazi wawili..ungekuwa na akili ningekusaidia kuondokana na shida za kukaa kwa shemeji..emty set kabisa

Hivi bado unafanya ujasiriamali wewe tahira

Ndo tatizo la jf hili,mbuzi kama wewe unaropoka tu bila kujua unaongea na nani,kwa pesa nilizonazo nakulisha wewe,mama ako,baba ako,mjomba wako,Dada ako,mke wako,watoto wako nawajengea nyumba nyie kazi yenu iwe kula na kunya tu
 
Wazungu kweli wajinga, yaani rasta tu zinamtoa ufahamu, nakumchengua kiasi hicho? Nashukuru wademu wetu wa kiarabu hawako hivyo na ndo mwanawake ghari zaidi duniani
Wewe hebu badilisha kauli hao mademu wa kiarabu watu kila siku wanaruka majoka nao tena bureeeee kwanza wana njaaa sana bora ata mwantumu wangu anaweza kuwa ghali kuliko hao wanao enda kujazana coco beach juma pili.
 
Vijana wa Arusha wamefanikiwa kujenga nyumba zao kupitia njia hii
 
mm siwapendi wazungu.

ngozi zao zinanuka shombo na miili yao yabaridi,haina joto kama watu weusi.
 
Ndo tatizo la jf hili,mbuzi kama wewe unaropoka tu bila kujua unaongea na nani,kwa pesa nilizonazo nakulisha wewe,mama ako,baba ako,mjomba wako,Dada ako,mke wako,watoto wako nawajengea nyumba nyie kazi yenu iwe kula na kunya tu
Jumlisha na kuwapiga paipu.
 
Uko maeneo gani dsm nikuelekeze walipo?
 
Hahaha Jana nimetimua wafanyakazi wawili..ungekuwa na akili ningekusaidia kuondokana na shida za kukaa kwa shemeji..emty set kabisa
hebu nisaidie mimi mkuu kama kuna fulsa aisee. maana nimechoka kukaa bila hata kazi
 
Mkuu mbona hiyo simple sana Mimi nilimpata mfilipino alikuwa akinipigia mida ya alfajiri pale tunawasiliana sana na Mara ya mwisho tulivinjari sana wakati tunakutana Hong Kong japo yeye alikuwa akielekea kikazi Lebanon.
Kikubwa mkuu ni usmart wako tu katika uwasilishaji wa vitu na uaminifu wako,hawapendi uongo kamwe.

Mwambie mkuu hawataki ujanja ujanja ktk mahusiano
 
Hapa labda tuzungumze na da Mange tusikie atasemaje.
 
Back
Top Bottom