Ningetafuta sababu yoyote ili mradi nisiende tuP
Ungekuwa wewe ndiye umeitwa na mkulu ungekataa? Au ni rahisi tu kuongelea ya wengine.
Mimi nilimshauri asiende. Ingekuwa mimi nisingeenda nione watakachonifanyiaAlifikiri alipoambiwa,nyimbo yako nzuri na mkulu na mpiga zumari wake(Mwakyembe) alidhani walikuwa wanamaanisha? tena kama walikupa kitu ukala au ukanywa jihesabu umekwishaaaaaa.
The devil in him invites problem,anapenda matatizo, pia kumbuka matatizo yana tabia ya kukaribishana.Kama ....ume-note vizuri Bashite amekuwa ni kiumbe mwoga sana siku hizi .....any further misconduct will eat him alive....he knows that..
Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! HManeno aliyo andika staa wa muziki bongo anaetamba na kibao chake machachari cha [HASHTAG]#WAPO[/HASHTAG] yanatia hofu na wasiwasi juu ya usalama wake! Vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kumuita kwa mahojiano kwani hata msaidizi wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa Ben Saanane alianza kutoa taarifa za kutishwa mpaka pale alipotokomea kusiko julikana hadi Leo hii!
Kuna sehem umesikia kamtukana raisi ??Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H
Come on you can think more than thatAkome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H
Nadhani kijana huyu uwezo wake utakuwa mdogo sana, au kama kuna vijeba vinampatia kichwa ajue yupo peke yake.Ulikubali mwaliko wa kumaliza tofauti sasa povu la nn kijana
Rais wenu na nani?! Sema rais wako Wa moyoni nwako[emoji12]Akome, nani alimuambia kuropoka?? Aende akamtukane baba yake, na si kututukania rais wetu wa mioyoni mwetu. Ni funzo kwa wale mnaodharau mamlaka, na ndiyo maana hata Mungu aliteketeza kizazi pale ambapo kilionesha kumdharau! H