Hizi ni taget za kufkia malengo yake... ney anajua anachofanya! Anachofanya ni kufuatilia maisha ya watu wa wa imani hizi za kishetan na kucopy baadh ya matirial kwa ajil ya kaz zake. Kinachonifurahisha kutoka kwake ni kwamba project yake imefanikiwa............ila imekua rahis kwake kutokana na ufinyu wa tafakufuri vichwani mwa wa tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.