Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
Hiki ulichoandika hapo umekusudia kutoka moyoni mkuu??Nyumba ya mil.300 halafu anamiliki murano old model na prado model ya kati......wasanii wa bongo kwa kujikweza haeajambo ndio maana chibu huwa anaweka na video kabisa kumaliza ubishi....sasa huyu wa tabata hata picha hajaweka