Hiki ulichoandika hapo umekusudia kutoka moyoni mkuu??Nyumba ya mil.300 halafu anamiliki murano old model na prado model ya kati......wasanii wa bongo kwa kujikweza haeajambo ndio maana chibu huwa anaweka na video kabisa kumaliza ubishi....sasa huyu wa tabata hata picha hajaweka
Basi shangazi nimekusikia,kuanzia leo nitaanza kukusifia wewe hapo Dada ake Baba. Vipi lakini uncle ajambo ..... siku hizi inaonyesha umeshalizoea dudu,maana kila siku ulikuwa analalamika kwa wifi yako (mama yangu) kuwa mume aliyekuoa ana dudu kubwa.Hivi we bwege ushawahi kusafiri kweli.
Tafuta kazi hiyo ya kumsifia mwanaume mwenzio kwenye kila post haikufai. otherwise olewa ukaishi madale tujue moja
Hahaha! dah eti bigvagna nimecheka sanaKuanzia leo inabidi ubadilishe jina.Napendekeza ujiite bigvagina.
Watoto mliotokea kwenye tundu la choo utayajua tu,yote uliyoandika ni mamaako anayolalamika kwa jirani sioBasi shangazi nimekusikia,kuanzia leo nitaanza kukusifia wewe hapo Dada ake Baba. Vipi lakini uncle ajambo ..... siku hizi inaonyesha umeshalizoea dudu,maana kila siku ulikuwa analalamika kwa wifi yako (mama yangu) kuwa mume aliyekuoa ana dudu kubwa.
Shangazi mbona mkali sana,umenipa ushauri kuwa "niache kumsifia MOND" na mimi nimeupokea ushauri wako shangazi.Watoto mliotokea kwenye tundu la choo utayajua tu,yote uliyoandika ni mamaako anayolalamika kwa jirani sio
hahaha, sawa utaongezea basibado haifiki mil 300
unaweza! kujenga kwa uweza wa Mungunikisoma post yako na nikiangalia mshahara wangu tsh 700,000 kujenga nyumba kama hiyo ni ndoto
chenji bado ipohahaha, sawa utaongezea basi
Kuna Mambo mengi nimeyaacha hapo MO11,
Mfano unaposema finishing ni Pamoja na Pavings, 1pc ya pavings ni 300/=, sasa Pavings unaweza chukua zaidi ya 20,000 bado fundi!!!!
Hapo itakuwa tayari
Usitishike nyumba zipo za staili nyingi mkuunikisoma post yako na nikiangalia mshahara wangu tsh 700,000 kujenga nyumba kama hiyo ni ndoto
hivi we mbwiga umeshawahi kujenga nyumba?nyumba ya kawaida m 15 inatoshaSimuungi mkono Nay katika mambo mengi lakini kama umewahi kujenga nyumba ya kisasa utakubali million 300 kujenga nyumba ni kitu cha kawaida kwa sababu nyumba ya kawaida unatumia si chini ya mil 50 mbali kiwanja, nyumba ya kifahari zaidi unatumia million 300 kwani kuna nyumba gharama za fence wall yake tuu ni sawa na nyumba zetu hizi. Kurahisishwa gharama za ujenzi kulinifanya wakati ninajenga budget niliyotegemea kufanya kila kitu iishie kupaua na kunifanya nihangaike sana shikamoo nyumba.
Inategemea lakin ney anapenda kujisifia sn ndo manhichi kiazi cha wapi kwani