Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
- Thread starter
- #21
Hamna nyimbo Wala ubunifu hapa Kuna kelele na ujinga, we liache lipayuke watoto wadogo wanapiga hela kwa nyimbo nzuri bila kelele
=
''Hamna nyimbo Wala ubunifu hapa '', mmmH hivyo bora tukasikilize zile nyimbo 'zenu' za Paka mate iteleze! sio??, Ndio nyimbo zenye ubunifu.