Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
maamuzi ya Nay yamekuja baada ya wimbo wake wa Mama kupigwa pini na Basata.
Ikumbukwe tu Sheria ya Basata inataka msanii kabla ya kuachia wimbo wake apeleke Basata ili uhakikiwe ndipo upewe go ahead ama upigwe ban.
My take Basata kuna ukoloni flan hivi na mambo ya kishamba huenda kua waliopo kwenye hiyo ofisi ni aidha walokole,hawajui mziki wala hawana interest na wala hawafatilii mambo ya mziki,hawajui hastling za kitaa au ni washamba na malimbukeni ndio maana wanakurupuka kurupuka kwenye maamuzi yao.