Nay wa Mitengo, laana ya baba ake na mihemko ya kisiasa ina mvuruga kichwa

Ulianza vizuri , ukachanganya hasira zako ukaharibu threads

By the way uhuru wa kuzungumza na kutoa maoni ndio huu sasa na wewe unautumia uhuru huo huo. Umesihi ney awaheshimu viongozi halafu wewe unamtukana aisee bongo hii
 


Trash
 
Eti elimu ya bure,hivi wewe zitakutosha kweli? Bora dingi yako angepiga nyeto tu,mbwiga mkubwa wewe.
 
Kosa lake ni kuwaambia serikali na ccm yao kuwa mikataba ya hovyo wanayosaini hatima yake ni kuwadidimiza wananchi!
Ona sasa wamepandisha kodi ya majengo kwa 50% na hii inakatwa kila unappnunua luku; yote hii ili kulipia fidia ya kulipa wawekezaji walioishita serikali!!
 
Mmojawapo wa wasomi wajinga sana na chawa dume.
 
Kwanza, Nay siyo Msanii.....
Tatu Nay ni miongoni mwa wasanii wanaotumiwa na Wanaharakati...

Kwa ujinga huo wewe na aliyekutuma ni mafala.
Ney hana radhi ya baba aliemlea toka utotoni.

Ney ni mtu aliekulia mitaani katika Jiji la Dar es salaam hususan eneo la Feri miaka kadhaa iliyopita.

Mleta mada hajui hata amkandie nini Ney ye mradi aongee tu atimize haja yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…