Nay wa Mitengo, laana ya baba ake na mihemko ya kisiasa ina mvuruga kichwa

Chawa, Na ndio maana siku hizi tuna Wasomi wajinga sana.
 

 

Imagine umeeandika gazeti lote hilo, zimepita zaidi ya saa 5 hakuna aliyekupa like hata mmoja, hivi ni nani wa kupuuzwa?
Kuna mtu amecomment mistari mitatu tu ana like zaidi ya 30!
Acha wivu wa kike dhidi ya Ney!
Naamini Nay wa Mitego kakuacha mbali sana kimaendeleo na kiakili, la sivyo usingeandika hili gazeti lako na kusema alikuwa chokoraaa n.k
 
Na nyie si muandae wasanii wenu wa kuwasaifia kweni shida ipo wapi!!?

"Tatu, huyu ni miongoni mwa wasanii wanaotumika na Wanaharakati, Wanasiasa wa upinzani na Baadhi ya Taasisi katika kutimiza matakwa yao ya Kisiasa, Hii ni kutokana na makundi hayo kuazimia wazi wazi kuwatumia wasanii kuharibu kwa makusudi taswira ya Serikali ili waweze kujipatia fedha."
 
Akili za mleta mada hazitofautuani na waimba singeli,Ney wa mitego kawapasha ukweli ambao hampendi kuusikia kiufupi mmewekwa uchi.
Wasanii wa kuwasaifia si wapo,shida nini!!?
Wawaoe content hao wasanii wao wamtukuze mama Samia
 
PUMBAFU! Kwani mtu ukiwa msanii uwezi kuwa mwanasiasa au kuwa mfuasi wa siasa??

Toeni ujinga mnasema anatumika na wanaalakaki au wanasiasa.. Yeye ameamua kutoa mawazo yake kulingana na mambo anavyoona yanakwenda kupitia muziki
 
Wimbo mzuri sana, mtoa mada una matatizo sana. Hao viongozi wako wakitaka kukuibia hawaoni aibu na wala hawana hiyo staha ambayo umemtaka Ney wa mitego kuionyesha mbele zao. Jamaa sio mnafiki kaongea ukweli sioni shida unless uwe hupendi kuambiwa ukweli.
 
Kwa uzi huu ulioandika wewe ndie una laana mbaya sana tena za kiukoo!
Rau wa Mitego amekosa nini ktk huu wimbo hadi kumshambulia kiasi huki we nunda?
Kipi kibaya au upi uongo aliousema? Yote si yana ukweli ? Wewe umekereka nini nini!
Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo na bora ungekaa kimya kuficha upumbavu!
 
Wewe ndo wa kupuuzwa
 
Mbona na wewe unaonekana ndo hukulelewa kabisa na wazazi wote wawili.
 
Wewe una mtetea Nani Kati ya:-
1).Mama SAMIA?
2)Uislamu?
3).ccm?
4).Zanzibar?
5).Tumbo lako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…