Nay wa Mitengo, laana ya baba ake na mihemko ya kisiasa ina mvuruga kichwa

Mbona wewe ulieleza uzi ndio inaonekana una matatizo kichwani?
 
Umemaliza au hoja yako tumpuuze. Asante
 
Li Chawa likidhihirisha uchawa wake 100%
 
Siyo baba mzazi bali hawara wa mama yake na kisa ni kwamba mama yake ndie alikua akilifuga zee Hilo zee lilikuwa likimpiga mama yake alichukizwa na kitendo Hicho akamshushia kibondo
 
Yule aliyeimbamama unarudia kilemba naye ana laana ya nani?

Wasanii lao kukufikishia ujumbe, lako chambua jema kwako mengine waachie wenzio.
 
Usanii bila pesa ni stress tu, wenzie wananunua magari makali kila siku yeye kazi kupiga picha na magari ya kuazima.
 
kwa kulisoma tu bandiko lako akili yako haiwezi kudadavua anachokisema Ney wa mitego, sababa uko kundi la wanafufaika wa mfumo
 
Umezunguka Sana,


Aliyoyaongea yana dalili ya ukweli au Jamaa kafanganya.......!
 
Wewe nawe umepata mgawo wa pesa ya DP word. Wasomi qajinga qajinga wasioweza kujibu hoja za kisheria na badala ya kuataki personalities.
Wewe ndo wa kupuuzwa.
 
Haya vijana wa lumumba, wamezoea kusokotwa, kaamua kutema povu uchwara? huwa hawataki ukweli kabisa, sijuwi nia yao ni nini,?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…