Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Nimeamka leo na taarifa ya msiba wa ndugu wa karibu aliyefariki jana usiku kutokana na ajali.
Kama umeshawahi kuondokewa na mpendwa wako, mzazi, rafiki wa karibu unajua maumivu makali ya kupoteza mtu ambaye alikuwepo kwenye maisha yako na ghafla hayupo tena.
Nayachukia sana maisha kila nikifikiria kuna siku nitakufa na kuwapitisha wanangu na familia yangu kwenye maumivu makali ya kunipoteza na kulazimishwa kuanza mwanzo mpya wa kuishi bila mimi 😢. Ninaishi na kitu kinaitwa "anticipatory grief" towards baadhi ya ndugu kwenye familia yangu na inanikula ndani kwa ndani.
Ulimpoteza nani kwenye maisha yako akaacha pengo ambalo halijazibika?
Tuendelee kuwaombea wote waliotangulia, wakapate pumziko, may they RIP.
Kama umeshawahi kuondokewa na mpendwa wako, mzazi, rafiki wa karibu unajua maumivu makali ya kupoteza mtu ambaye alikuwepo kwenye maisha yako na ghafla hayupo tena.
Nayachukia sana maisha kila nikifikiria kuna siku nitakufa na kuwapitisha wanangu na familia yangu kwenye maumivu makali ya kunipoteza na kulazimishwa kuanza mwanzo mpya wa kuishi bila mimi 😢. Ninaishi na kitu kinaitwa "anticipatory grief" towards baadhi ya ndugu kwenye familia yangu na inanikula ndani kwa ndani.
Ulimpoteza nani kwenye maisha yako akaacha pengo ambalo halijazibika?
Tuendelee kuwaombea wote waliotangulia, wakapate pumziko, may they RIP.