Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #41
Asante sana mdogo ake na mimi 🤗Pole sana dada. Pole mnooo! Mungu akutie nguvu na kukufariji.
Kifo hakijawahi kuzoeleka ... Kila siku huja na matukio mapya na yenye maumivu yasiyoweza kuzoeleka!
Itoshe kukupa pole! Nilisoma hoja za Paul Kalanithi na mawazo yake juu ya kifo, ngoja nirudi kuzisoma Tena.
"When breath becomes air" kitabu kizuri sana, nimekisoma pia!