Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #41
Asante sana mdogo ake na mimi π€Pole sana dada. Pole mnooo! Mungu akutie nguvu na kukufariji.
Kifo hakijawahi kuzoeleka ... Kila siku huja na matukio mapya na yenye maumivu yasiyoweza kuzoeleka!
Itoshe kukupa pole! Nilisoma hoja za Paul Kalanithi na mawazo yake juu ya kifo, ngoja nirudi kuzisoma Tena.
Mom & Dad......Ulimpoteza nani kwenye maisha yako akaacha pengo ambalo halijazibika?
We Chinchiler wakati mwingine uwe serious basi πNakutumia kijitabu wanachotumia wenzako kujitoa mhanga utaona jambo la kawaida usijali hakikisha unakisoma page 6 ya tu Kisha malizia 9 uone faida kemu kemu za kujiua
Hii comment isiguswe na mtu!Asante sana mdogo ake na mimi π€
"When breath becomes air" kitabu kizuri sana, nimekisoma pia!
Daah pole sana mkuu πMom & Dad......
Sikubaliani na wewe, ila naheshimu mtazamo wako!