[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama Hauna sura ya Kuuza huwezi Tumia Insta!
Hawa kina Jux ambao hua wanapost picha insta wakiwa China hua wanakua China ya gongo la mboto?
Naomba ufafanuzi kidogo…
Jux yupo china, na amepost picha za graduation yake kwenye instagram... Hapo unasemaje??
Vipi kuhusu wakina Customer care(mdananda)... Deile wanapost mapicha ndani ya ghuangzhou
Hiyo taarifa naijua, ila nnachotaka ujibu swali.Websites blocked in mainland China - Wikipedia
haya biashana na wikipedia kaka.. nakuletea ba link ya cnn
Hahahah wadananda nawapenda sana hawa washkajiJux yupo china, na amepost picha za graduation yake kwenye instagram... Hapo unasemaje??
Vipi kuhusu wakina Customer care(mdananda)... Deile wanapost mapicha ndani ya ghuangzhou
hata shetani alikuwa malaika sema bas tuIla kuna wengine wanalisha familia kwa Instagram wakuu ....
Instagram ni best network wakuu ila kwa asiyejua umuhimu wake ndo hivo kama mnavyosema
Wengine tunatangaza business zetu za ujasiriamali uku na ukijumlisha udalali alhamdulilah wazee wetu wanapata kidogo via mpesa
Instagram and JF are best network for me. Anayeiponda Instagram anakosea sana,wakupondwa ni wale wanaotumia vibaya
Its irony,intelligence is needed to understand