Naye Rais Mwinyi wa Zanzibar Atunukiwa PhD ya Heshima Katika Uongozi Unaoacha Alama na Chuo Kikuu Cha Zanzibar (SUZA)


View: https://www.instagram.com/p/DDNG5E_gqzE/?igsh=MTRmbTAzdW1tNWk0ag==
 
Hakika dkt Hussein anastahili kwa kazi kubwa aliyo ifanya ndani ya miaka 4. Nilifika zanzibar hivi karibuni, hakika zanzibar imepiga hatua kubwa ya kimaendeleo;- Miundombinu, afya, utalii, elimu, sera ya uchumi wa buluu vyote hivyo kwa pamoja vimechochea kwa kiasi kikubwa maendeleo ya zenji kupaa.

Hakika Rais Hussein ni Jembe, kichwa kwelikweli, mchapa kazi kwa maarifa ya juu kabisa yaani ni mweledi asiye shaka, mwadilifu wa viwango vya juu, anaheshimu watu wote.
 
Umesikia utekaji Zanzibar? Halafu yule anafanya viitu vinaonekana. Huyu huku makelele ni mengi kuliko utendaji. Imagine hata mradi wa sgr tu hapo et mizinguo kibao
Utekaji ni upuuzi usio na msingi.

Nitajie vitu vinavyoonekana huko Zanzyna huku havionekani,Ili twende sawa.
 
Kuna huyu pia 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDNN_xcNCjM/?igsh=MTc3eWZ1YWRqeWo5ZA==
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…