Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi juta kumsikiliza hakika anaujua mpira.Wakuu poleni na majukumu huyu mwamba NAZARETH UPETE ndio Mtangazaji bora wa mpira wa Mguu kwasasa hapa nchini akifuatiwa na Gharibu Mzinga
1. Nikisema mtasema mtangazaji hapitwi,Wakuu poleni na majukumu huyu mwamba NAZARETH UPETE ndio Mtangazaji bora wa mpira wa Mguu kwasasa hapa nchini akifuatiwa na Gharibu Mzinga
Hebu taja top 10 yako mkuu. Iwe based na watangazaji wa sasa hiviAna unnecessary phrases ajikite kutoa commentary aache siasa na opinionising wakati wa commentary...otherwise anaweza kuwa kwenye top ten ila maguru wa football commentary wapo siyo yeye kwa sasa
Muhimu sana huu ushauri wako. Nafikiri siasa anaweka sababu yuko tbcAna unnecessary phrases ajikite kutoa commentary aache siasa na opinionising wakati wa commentary...otherwise anaweza kuwa kwenye top ten ila maguru wa football commentary wapo siyo yeye kwa sasa
1. MpenjaHebu taja top 10 yako mkuu. Iwe based na watangazaji wa sasa hivi
Taja anaemzidi mkuu.Ana unnecessary phrases ajikite kutoa commentary aache siasa na opinionising wakati wa commentary...otherwise anaweza kuwa kwenye top ten ila maguru wa football commentary wapo siyo yeye kwa sasa
Mno anajua sio kitoto.Kwenye kombe la dunia alituburudisha Sana...
Weeee l!! usimuweke nafasi hio mpenja,1. Mpenja
2. Nurdin
3. Ngoda
4. Kabombe
5. Oscar
6. Labda hapa ndo aje huyo dogo...hao nilokutajia wanaujua mpira na wana utulivu ktk commentary zao hawana unnecessary noises
Ghalib Sina shaka na hua hazungumziwi hi ni sabab Hana mbwembwe.Mtangazaji bora wa mpira kwa hapa Tanzania ni GHARIB MZINGA tu.
Mpenja huwa anaweka maneno kupita kiasi yasiyo na maana.