Nazareth Ulete ndio Mtangazaji bora wa mpira mguu Kwasasa hapa nchini

Nazareth Ulete ndio Mtangazaji bora wa mpira mguu Kwasasa hapa nchini

ki bongo bongo na ki vyetu vyetu mtaona
sawa ila bongo ni wachache sna wapo smart kwnye kutangaza mpira kideoni.. wengi wana tngaza wakiwa hawana ufahamu wwte kuhusu soka so maneno ynakuwa ni mengi yasiyo na maana.
 
Upete Hana ujuzi wa kutangaza mpira, muda mwingi hatangazi mpira ila anaongea mambo yanayo husiana na mpira.
Mtangazaji namba Moja kaziyake ni kutangaza, yule anaye fanya backup Kwa mtangazaji tumwite namba mbili kazi yake ni kuongea/ kufafanua.
Upete anafaa kuwa mtangazaji namba mbili kwakua anapenda kuongelea mpira na si kutangaza.
Upete kwenye Television [emoji342] ndio hawezi kabisa Maana anatangaza kama ni matangazo ya redio ya mojakwamoja ambayo hadhira haioni tukio Bali inasikiliza.
Huu ni ukweli ambao mleta sledi anapaswa kuuchukua
 
Mtangazaji wa mpira kwa sasa ni kilwa finest gharib mzinga, the guy is smart hatoki nje ya kile anachokifanya, huwezi kumsikia akisimulia warembo waliopo uwanjani wala maneno ya kwenye khanga.

Lastly, ukimsikiliza mzinga anakupa update kuhusu mchezaji halafu ni mtulivu sana.

Huyo upete ambaye ukimsikiliza anamsifia messi mechi nzima?au kama timu anaipenda basi ataisifia mpaka mpira unaisha.
 
Wapo watkaoshangaa kwann mpenja hua hazungumziwi.
Ni anakupaji ila kiac tu Cha kawaida na hajui histr hasa za wachezaji hua anajing'ata sana hasa akianza swala la historia ya mchezaji.
kazi ya utangazaji kikawaida ni nyepesi ukiwa nje ya game,ukishaingia ndipo utaona ugumu wake, mtangazaji yeyote,huwa anapangiwa game za kutangaza mfano game tatu zinazokuja anapewa taarifa. Hivyo huingia chimbo kusoma historia ya team nzima wachezaji,makocha, pamoja na mifumo,nature na kila kitu kinachnihusu timu. Na huwa wana "nondo" wanazo zinazowawezesha waongee yote hayo. Kwa hiyo kusema Nazareth Upete anajua history kuliko wengine ni kuudanganya umma,labda tu kila mtu ana kile anachokipenda wapo wanaopenda sauti ya mpenja xa kudadavua tukio kwa umaridadi, wapo wanaopenda kusikia mtangazaji kila muda atoe history. Nakaribisha mashambulizi.
 
Wengi wanaanzaga hivhivi.....baadae utasikia KIBU MMOJA NI SAWA NA MZIZE SABA mpaka unawaza huyu ni ni mchambuzi au mchicha?
 
Anachoweza ni kuchanganya lugha... Huyu pale Azam hamchomoi mtu.
 
Back
Top Bottom