Bundakwetu
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 551
- 1,014
Kwa ambao mnatazama mashindano ya Kombe la Dunia yanayoendelea huko Qatar kupitia Tbc1, kuna yule mtangazaji anaitwa Nazareth Utepe na Baraka mpenja wa Azam.
Nani mwenye kutangaza vizuri pamoja na kutia manjonjo zaidi katika utangazaji wao?
Nani mwenye kutangaza vizuri pamoja na kutia manjonjo zaidi katika utangazaji wao?