Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sio Messi tu, anapenda kuwasifia mashabiki wanawake, kila wakati utasikia mashaallah uumbaji wa Mungu! Yaani anakuwa ni kama ana tamaa ya ngonoMshenzi huyu kazi kumsifia Messi na kuweka unazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Messi tu, anapenda kuwasifia mashabiki wanawake, kila wakati utasikia mashaallah uumbaji wa Mungu! Yaani anakuwa ni kama ana tamaa ya ngonoMshenzi huyu kazi kumsifia Messi na kuweka unazi
🤣🤣Sio Messi tu, anapenda kuwasifia mashabiki wanawake, kila wakati utasikia mashaallah uumbaji wa Mungu! Yaani anakuwa ni kama ana tamaa ya ngono
Fala yuko vizuri sana, ila muongo sanamwamba huyu hapaView attachment 2437583
🤣🤣Fala yuko vizuri sana, ila muongo sana
Yeye kasema wewe ni nani upinge?View attachment 2436704
Pole sana. Kama utangazaji wa mpenja unakukwaza jua una matatizo ya akili wahi ukapate tiba mapema kabla hujaanza kuokota makopoMpenja mpumbavu sana,kila ushindi wa utopolo anawananga Simba,lakini kila Simba akicheza anazungumza sana matukio ya waamuzi na kuwasemea wapinzani ili kuwaaminisha watazamaji kuwa mwamuzi yuko upande wa Simba.
Matukio ya waamuzi ambayo ni tata zaidi kwa upande wa yanga huwezi kumsikia akiyakuza wala hata kuyaongea.
Huwa naangalia mechi nimekata sauti yake kama TBC wapo hewani nasikilizia huko
JamiiForums mobile app
Dah! tibisihi? AiseeSaint Anne njoo utoe maoni yako huku kuhusu mtangazaji wako wa tibisihi
Huyo Upete akheri hata ya Enock Bwigane au Sued MwinyiKwa ambao mnatazama mashindano ya Kombe la Dunia yanayoendelea huko Qatar kupitia Tbc1, kuna yule mtangazaji anaitwa Nazareth Utepe na Baraka mpenja wa Azam.
Nani mwenye kutangaza vizuri pamoja na kutia manjonjo zaidi katika utangazaji wao?