Ndugu zangu
Nafikiri nipo katika wakati mgumu sana,nazeeka na nimeingiwa na hofu,nimegundua nauingia utu uzima,nimechukia,naogopa nahisi maisha ndio basi,kila nikipita nasalimiwa shikamoo,sipendi jamani wengine wananisalimia nawaona kama tunalingana,naogopa sana uzee.mvi zinabisha hodi kila kukicha,nimeanza kubadili mavazi niliyoyapenda sasa navaa kama mchungaji,sitaki lakini hakuna jinsi,mlioushinda uzee nitieni nguvu nahisi sipendwi tena nikipita hakuna anayenitazama kama zamani,naogopa kutongaza huenda nikatukanwa hadharani,mhh,mlioushinda uzee nisaidieni
Hekima sana, maelezo yakoKuna mambo huwa hayakwepeki/hayahepukiki.
Wakti kama umeshafika, usiogope, kubaliana na matokeo.
Kwa ninavyoamini mimi, hakuna jambo muhimu kama kufurahia Maisha yako, kwa hali yoyote utakayokuwa nayo.
Kwahiyo kila hatua ya Umri utakayoifikia inabidi uifurahie, kumbuka kuna wengine hawatoweza kufikia hapo ulipofikia wewe.
Na kuna wengine ambao tayari wameshatutangulia mbele ya haki, na walipenda/walitamani sana kufikia Umri/Rika wako/lako, lakini kwa mapenzi ya Muumba hawakuweza kutimiza ndoto zao.
Haya Maisha ni mafupi sana.
Kuwa na utaratibu wa kushukuru
Kwanini unaogopa uzee? Tuanzie hapo kwanzaNdugu zangu
Nafikiri nipo katika wakati mgumu sana,nazeeka na nimeingiwa na hofu,nimegundua nauingia utu uzima,nimechukia,naogopa nahisi maisha ndio basi,kila nikipita nasalimiwa shikamoo,sipendi jamani wengine wananisalimia nawaona kama tunalingana,naogopa sana uzee.mvi zinabisha hodi kila kukicha,nimeanza kubadili mavazi niliyoyapenda sasa navaa kama mchungaji,sitaki lakini hakuna jinsi,mlioushinda uzee nitieni nguvu nahisi sipendwi tena nikipita hakuna anayenitazama kama zamani,naogopa kutongaza huenda nikatukanwa hadharani,mhh,mlioushinda uzee nisaidieni
Uzee ni vile unaamua kuishi wewe, ukiwa na hela huwi mzee!! Tafuta hela kijana utajikuta unamiaka 70 lakini ni kama una miaka 30!!Ndugu zangu
Nafikiri nipo katika wakati mgumu sana,nazeeka na nimeingiwa na hofu,nimegundua nauingia utu uzima,nimechukia,naogopa nahisi maisha ndio basi,kila nikipita nasalimiwa shikamoo,sipendi jamani wengine wananisalimia nawaona kama tunalingana,naogopa sana uzee.mvi zinabisha hodi kila kukicha,nimeanza kubadili mavazi niliyoyapenda sasa navaa kama mchungaji,sitaki lakini hakuna jinsi,mlioushinda uzee nitieni nguvu nahisi sipendwi tena nikipita hakuna anayenitazama kama zamani,naogopa kutongaza huenda nikatukanwa hadharani,mhh,mlioushinda uzee nisaidieni
Ndugu zangu
Nafikiri nipo katika wakati mgumu sana,nazeeka na nimeingiwa na hofu,nimegundua nauingia utu uzima,nimechukia,naogopa nahisi maisha ndio basi,kila nikipita nasalimiwa shikamoo,sipendi jamani wengine wananisalimia nawaona kama tunalingana,naogopa sana uzee.mvi zinabisha hodi kila kukicha,nimeanza kubadili mavazi niliyoyapenda sasa navaa kama mchungaji,sitaki lakini hakuna jinsi,mlioushinda uzee nitieni nguvu nahisi sipendwi tena nikipita hakuna anayenitazama kama zamani,naogopa kutongaza huenda nikatukanwa hadharani,mhh,mlioushinda uzee nisaidieni