Nazibua vyoo

dah haya njoo mkuu nikupe tenda hapa jirani kuna baa vyoo vyake vimeziba vya wanaume na wanawake
 
kwani umetafsiri nini mkuu usitafutie balaa bure la kupigwa ban kwani si nimetangaza kazi yangu kwani hakuna mtaani kwenu vyoo vilivyoziba na kujaa ili vitapishwe
Jina lako lenyewe linajielezea wewe ni MTU Wa aina gani jinga jinga mwehu fulan
 


Samahani lakini, hivi wewe si ni yule jamaa anayepandikizaga camera vyooni na kutengeneza "Bongo Movie" zako? Wewe bwana unatafutwa sana na mapolisi, samahani kwa kukushitua lakini lazima ukamatwe tu, unahaibisha sana jamii na kuvunja ndoa za watu.
 
Samahani lakini, hivi wewe si ni yule jamaa anayepandikizaga camera vyooni na kutengeneza "Bongo Movie" zako? Wewe bwana unatafutwa sana na mapolisi, samahani kwa kukushitua lakini lazima ukamatwe tu, unahaibisha sana jamii na kuvunja ndoa za watu.
hapana mkuu sio mimi.mimi ni mzibua vyoo tu
 
kwani umetafsiri nini mkuu usitafutie balaa bure la kupigwa ban kwani si nimetangaza kazi yangu kwani hakuna mtaani kwenu vyoo vilivyoziba na kujaa ili vitapishwe
Si kuna jukwaa la matangazo!
 
Hopeless kabisa ! Acha hiyo tabia .mwogope Mungu ,biblia inasema walevi na wafiraji hawatauona ufalme wa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…